Warsha hii huwasidia viongozi kufikiri juu ya kazi na uwezo ulio wa lazima kupanda Makanisa yenye afya. Inahusisha mada kama vile msingi wa kibiblia katika upandaji wa Kanisa, maelezo mafupi na familia ya mpanda Kanisa, hatua za upandaji wa makanisa, mitindo ya upandaji wa Kanisa na sifa za kanisa lenye afya.